• Breaking News

    Tuesday, April 17, 2018

    HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ - KWA NGWARU | OFFICIAL LYRICS

    Intro :
    Mmmmhh

    Verse 1 {Harmonize}

    I wish ningekuwaga na mavumba
    Mkwanga manoti
    nikuonge vya thamanii
    ama niwefundi wakuigiza kakanumba
    Masanja joti,Usiende mbali namii
    mmh my darling i need yah love
    we namii hakiyamungu nakupenda
    nobody can show yah love
    usiwaamini ukusha wapa wanakwenda

    oho bac jiregexe nikubebe mgongoni
    ielewii
    deka nikudekeze nikutunze kama mboni
    ielewe
    wakija wapoteze jifanye kama uwaoni
    iyelewii
    Kisha uniongeze ulivyofunzwa unyagagoni
    iyelewii

    Chorus:
    ooh baby asa dance nikuone
    Kwa ngwaru
    wa bambijoo
    kwa ngwaru
    ululuvenii
    kwa ngwaru

    ooh baby asa cheza nikuone
    kwa ngwaru
    wa bambijo
    basi cheza namimi
    kwa ngwaru

    Verse2 (Diamond platnumz)
    Moyo wangu wa mwarubaini
    mchungu ukiudhiwaa
    Nisamehe marasabini
    huo uzungu sijajaliwa
    ningependa chunga majinii
    kwenye uvungu pale miwaa
    nikumbatie baridini kwenye tundu
    kama njiwa
    moyo wangu niwamakuti usinijie nakiberiti
    asaaawee
    penzi likageuka chuki nyumba ikawa kibitii
    asaweee
    nipatie vyakitandani nipe mpaka kwenye kiti
    asaweee
    ili asiniingie shetani  nikaja kukuchitii

    oho baci jiregeze nikubebe mgongoni
    iyelewii
    kitandani nikoleze kwamiuno ya kingoni
    iyelewii
    kisha nibebeleze nirudishe utotoni
    iyelewii
    weka mate niteleze kama nyoka pangoni

    Chorus:
    ooh baby asa dance nikuone
    Kwa ngwaru
    wa bambijoo
    kwa ngwaru
    ululuvenii
    kwa ngwaru

    ooh baby asa cheza nikuone
    kwa ngwaru
    wa bambijo
    basi cheza namimi
    kwa ngwaru


    aghaa
    nataka kucheza churu naangali umesimama
    ahhh inama inama
    asa waoneshe unacgezaje
    unataka maji yakisima na unaogopa kuchutuma
    ahhh inama inama
    embu waoneshe unachotaje
    ahhh inama inama

    unataka kupiga deki wima umesimama
    ahhh inama inama
    tuoneshe unapigaje
    ahhh inama inama
    siunataka vyapulltable asa mbona unajibana
    ahhh inama inama
    ubu tuoneshe unarengaje

    ***
    oyaa wanangu wakigogo
    ahhh inama 
    nipeza mose iyoboo
    ahhh inama
    vunja vunja kidogo
    ahhh inama
    anh niongeze mikogo
    ahhh inama inama

    Link Video


    Lyrics

    Breaking News

    Sports