• Breaking News

    Tuesday, June 13, 2017

    Lyrics : Aminia Nyashinski









    [Intro: Nyashinski]


    Yeh!


    Niko hapa kuwapa muziki mzuri wako hapa tu kuwa famous


    Ama juu waliskia ma-rapper hupendwa na madem, bas'


    Wanajiita lyricists, kwa hizi interviews -na mimi tu ndio nimetoa lyric video ika ita a million views, how?





    [Interlude: Nameless]


    Ati Nyashi area si ulikam na ubaya


    Iko watu husema heri hata ungekwamia Ulaya


    Umerudi wasanii wakaanza kuambiwa retire


    Secular lakini unaandika gospel fire





    [Verse 1: Nyashinski]


    Si live a lie, najua nta sound kama niko ma drei but juzi walai


    Nilipanda matatu na Trey na siuzi mayai


    Nimetoka mbali aisee na siishi Rongai


    TRUE STORY


    Klepto si mtarudiana lakini


    Hatujai achana tunaruadiana kwanini


    Na machali wa Inshalla mi name na hawa vijana wawili


    Tutazidi sana kando na kukosana niamini


    Tusipimane akili mi nina kichaa


    Waambie waache kujichokesha ulimi mi ndo teacher


    Enyewe manze wataacha lini, kujichocha ju ni clear tukisimama hao na mimi mi ndio mnaprefer





    [Hook]


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na Eh


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na Eh


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na Eh


    Ah ah ah ah ah YEH


    AMINIA (X3)














    [Verse 2: Nyashinski]


    Kuna tenje yangu fulani heri ibaki mteja tuAu nkitoka niachange kwa keja tu


    Najua ikilia ni mtu anataka favour tu


    Kila converstation ni kama Deja Vu


    Maisha imejaa na watu fake si uongo


    Na visu zakunidunga nkiwageuzia mgongo


    Washa sense ntakafunga so wananyemelea


    Siezi afford kumwaga unga najitegemea


    Sieki imani kwa binadamu mimi


    Naeka imani kwa God si kwa sanam mimi


    Ah, ka skupendi skufichi


    No pretending hata simu zenu mi sishiki


    N'kuwe pissed kwa nini, siko pissed niamini mi niko bied


    Na go through vitu real ka nyinyi mimi pia


    Maybe tu argue beats au beer situezi argue iko rapper anatoa hita ka mimi


    AMINIA





    [Hook]


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na Eh


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na Eh


    AMINIA


    Oh nana nana na na na na Eh


    Ah ah ah ah ah YEH


    AMINIA (X3)





    [Verse 3: Nyashinski]


    Philosophy yangu ni Don’t worry chema chajiuza


    Sijieki na Don Larry ama Martin Luther


    Nani huyo asiyenenwa na interview, sio mimi


    Nkianza hii kitu ni watu wa few waliamini


    Nabii akosi heshima ispokuwa kwa nchi yake


    Kwa jamaa zake na nyumbani mwake X2


    Hii ni ya kila mtu uliza ka anapenda rapper akaniambia ako 50-50


    Kila mtu ana consider kuingia hii biz ya mziki but ameambiwa ati mziki hailipi


    Kukopa juu ni passion basi kazi hata


    Ka we ni rapper ati juu ni fashion hatukutaki hapa


    Hii ni ya msanii mwenye animba na guitar anaimba for free


    Na ntaendelea hata ka najua ata hajalipwa





    YEAH





    [Outro]


    Hii ni kwa mtoi yeyote ako na dream


    Siku moja joh niwewe wataita KING


    Jione umpanda stage na umeshika


    Usiwai sahau mahali umetoka juu umefika Aminia


    Schoki, schoki, schoki


    Style mingi kushinda menu ya kinyozi





    AMINIA





    Naeza fly wengine hawatoshi





    AMINIA


    Aminia, aminia, aminia


    AMINIA


    Ah ah ah ah ah aye


    AMINIA (x3)


    Oh, nanana


    AMINIA








    Lyrics

    Breaking News

    Sports