• Breaking News

    Tuesday, June 13, 2017

    Ile Kitu Lyrics By Ken Razy








    VERSE1











    “….Ntakunyonga na hiyo kamba kaa mic si cordless;


    Sosuun anawa-kill wife si useless;


    Sikuhizi nina sporty sahara ni Sunday best;


    Naeza ifanya tena KenRazy mi ndio the best;


    Me , Myself and I, mi niko Me-full;


    Juu ya uhai mi niko grateful;


    wee unasema half empty, mi nasema half full;


    Juu naangalia where im going, mi niko hopeful;


    Nafula anapenda Tempo ya Dufla;


    Maji ika-come speedy ako nawa-full;


    Vile ni m-Luhya, nambuyia kuku full;


    anasema… “aki Razy unakuwanga wonderful”


    Sugua gaga , sugua Lady dada;


    Sikuhizi thong ndani ya club hata hawana;


    thoughtful, narudisha wa-Kenya dancefloor;


    wanashukuru wanasema, they are very thankful;….”







    style="display:inline-block;width:320px;height:100px"
    data-ad-client="ca-pub-9962058196269962"
    data-ad-slot="7969394533">



    #VERSE2





    “….Sponsor anafanya boy, anakuwa stressful;


    ana work ndio but hana bag za duffle;


    ma-politician wanafanya kazi,


    juu wanajua sai wanataka #IleKitu,


    Nina mtoi dem tena beautiful;


    Mistari sai lazima niwe careful;


    “daddy ukweli ulisema hivo?”


    Ni juu ya job tu mom, msidhani nawa-fool;


    Naifanya easy, na inatoka powerful;


    wana-try ku-do kaa mi, wana-sound awful;


    hawaniwezi hawa wasanii


    bado kwa stage nawafanyianga #ileKitu;


    Ukona dem na bado unahanya #ileKitu;


    you never know mpaka ile siku,


    ataenda, The best things in life are free,


    Koinange street si poa, mi nabaki faithful;….”





    VERSE3





    “….Nilifikiria kufanya collabo,


    nikaona wacha tu nitafanya remix;


    Piga selfie clear si lazima uchome picha


    acha nikuombee,”nani hapa ana ile simu?”


    Sikuhizi club ukienda kwa dancefloor,


    watu wanakuangalia ni kama wee ni chizi;


    Vera Sidika aki-twerk na hii ngoma,


    atakuwa ameifanyia #ileKitu;


    when i die no moment of silence,


    pigeni kelele mafans wangu cheerful;


    Razy , Razy , Razy , Razy,


    Qrazyman toka siku za F2;


    Henry fan toka siku za O2;


    Tumia CD kaa hauko ready,


    wacha zile za,”nani hapa ana ile P2?







    Lyrics

    Breaking News

    Sports