• Breaking News

    Tuesday, June 13, 2017

    Ryvanny – Mbeleko Lyrics








    Wa Safi




    Mmmmh




    alisemanga dunia ina mapambo yake eeh



    ukiacha majumba pesa magari ni wanawake eeh


    nimezunguka aah, nimefika kwake eeh


    siwezificha nimeshanasa


    kwa pendo lake eeh








    halabaani


    kakuumba kimwana, mwenye sifa ya upole


    ata mama kakusifu sana, kitofauti na wale (wajane)


    kule nilizama tafadhali niokoe mamamaa. unipulize nipoe










    We ndo my queen baby my only, sitopenda uende mbali one day x2


    Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) x2


    We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe)


    Na jicho lako lakungu kama la nikonyeza (jiachie tu nikubebe) eeh ummmh umh






    Umenivuta kwa ulembo mpaka matendo umenikamata


    kisura shepu sio tembo taweka nembo watoto kupata (x2)






    koleza motoo tupike tembele kisamvu cha nazi njegele


    sisi kutishe kelele sikwachi iih


    Linda nashamba wasije ngedele, kuku niitee kwa muchelee


    Mii sipigani na wewe manatii iih


    Ndio manaa kwako nimezamaa sitaki mii wanitowee mama maaa


    Unipulize nipoee






    We ndo my queen baby my only, sitopenda uende mbali one day (x2)


    Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebebe) (x2)


    We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe eeh)


    Na jicho lako lakungu kama lanikonyeza (jiachie tu nikubebe eeh)






    Naficha mbeleko kwa ajili yako (jiachie tu nikubebe) x2


    We kama mtoto mii nakubembeleza (jiachie tu nikubebe eeh)


    Na jicho lako la kungu kama la nikonyeza


    (jiachie tu nikubebe…jiachie tu nikubebe…jiachie tu nikubebe)


    We kama mtoto mii nakubembeleza


    Na jicho lako lakungu kama lanikonyeza


    Ayo Laizer









    Lyrics

    Breaking News

    Sports